JARIBIO LA UIBUAJI WA MIRADI.
Baadhi ya wananchi waliojitokeza na kushiriki mafunzo ya ushawishi na uhamasishaji wa miradi ya maendeleo, wakiwa kwenye vikundi vya jaribio la namna ya kuibua miradi mbalimbali kuanzia ngazi ya kitongoji
Baadhi ya wananchi waliojitokeza na kushiriki mafunzo ya ushawishi na uhamasishaji wa miradi ya maendeleo, wakiwa kwenye vikundi vya jaribio la namna ya kuibua miradi mbalimbali kuanzia ngazi ya kitongoji
Muonekano wa bwawa la Mbuta lililopo Kata ya Mwakijembe Wilaya ya Mkinga, baada ya kufikiwa na mradi wa “WAJIBIKA MWANANCHI FUATILIA RASILIMALI ZA MAJI KWA MAENDELEO YAKO”.
Wa kwanza kushoto Dotto Zuberi (staff Tawsei), Kudura Saidi (staff Tawsei), Bernadetha Choma (Mkurugenzi Mtendaji), Mrisho Omary (staff Tawsei), Zainabu Salim (Mhasibu Tawsei).