TAWSEI, Bodi ya Afya ya kituo cha afya Maramba, viongozi wa serikali za vijiji vya Kata ya Maramba pamoja na baadhi ya wananchi waliojitokeza katika kikao cha uundwaji wa kamati zitakazosimamia ujenzi wa jengo la kuhifadhia maiti wakikagua eneo litakalotumika kujenga jengo hilo.