Waheshimiwa Madiwani na kamati za PETs
Picha ya pamoja ya Waheshimiwa Madiwani na kamati za PETs kwenye kata za mradi “UFUATILIAJI RASILIMALI ZA UMA” kwenye sekta ya maji.
Picha ya pamoja ya Waheshimiwa Madiwani na kamati za PETs kwenye kata za mradi “UFUATILIAJI RASILIMALI ZA UMA” kwenye sekta ya maji.
Meneja wa TAKUKUKURU Wilaya ya Mkinga akitoa mafunzo kwa Madiwani juu ya mianya ya rushwa katika miradi ya ufuatiliaji rasilimali za uma katika sekta ya maji.
Wananchi wa Kata ya Mwakijembe Kijiji cha Perani, wakijadili hatua za mradi wa ufuatiliaji wa rasilimali za uma sekta ya maji.
Shirika la TAWSEI katika maonyesho ya sikukuu ya Wanawake duniani 2023.