USHAWISHI MARAMBA
Kutokana na changamoto ya ukosefu wa jengo la kuhifadhia maiti katika Kata ya Maramba, baadhi ya wananchi walijitokeza kwenye mafunzo ya ushawishi na uhamasishaji ili kujengewa uwezo wa kwenda kuelimishana na kuhimizana umuhim wa kuwepo kwa jengo hilo na upatikanaji rahisi wa huduma hiyo.

